'Katoto hodari' crooner Mbosso mourns baby mama and comedienne Boss Martha - The Sauce
Connect with us

Hi, what are you looking for?

Da Squeeze

‘Katoto hodari’ crooner Mbosso mourns baby mama and comedienne Boss Martha

Tanzanian singer Mbosso is mourning the death of his baby mama, Boss Martha, who was a fast-rising Tanzanian stand-up comedienne.

 


According to reports by Tanzanian media, Martha died on Wednesday morning after a short illness it’s been said that she had been suffering from Meningitis, which she later succumbed to.

Following the sudden demise of Martha, Mbosso was unable to control his grief taking to Instagram in to mourn his baby mama.

“Wallah Moyo wangu unauma Martha, hukupaswa kuondoka wakati huu, Mapema mno Dah ..!! “Nenda Martha Mwingi Furaha na Ucheshi, Hata Mama Kasema Leo Msiba..:, ‘ jana ulikuwa unatabasamu hadi ulipofumba Macho,” Mbosso’s long tribute to Martha reads in part.

View this post on Instagram

Licha ya Vipingamizi Vingi juu ya Mimi kuwa na Wewe takribani au ndani ya zaidi ya Miaka Mitano (5) iliyopita, hatukuacha kuonyeshana ni kiasi gani tulikuwa tunahitajiana sana kwenye Safari yetu ya maisha , Japo jitihada zetu hazikuweza kufanikisha Mimi na wewe Kuwa Pamoja .., ila mbegu tuliyoipanda vuno letu ulichagua Liwe siri baina yangu Mimi na wewe.., sikukubishia japo Mwazoni nilikukatalia kwa sababu 'najijua kifua cha Kuficha Siri sina..' , ila nikakuahidi sitadiriki kuitoa Popote na hata waliotuhisi tulikuwa tunawakatalia.., iwe Faragha au mbele ya hadhira tulitamka Sio Kweli, Hapana, Hakuna Kitu Kama hicho..' Hayo ndo yalikuwa Majibu Yetu.., "Sasa Umeondoka bila kunipa ruksa juu ya hili Je, niendelee kuitunza hii siri .., na Je, anavyoendelea Kukua akija kuniuliza na nikwambia Mama alisema uwe siri atanielewa Kweli ''.." ?.. Wallah Moyo wangu unauma Martha , hukupaswa kuondoka wakati huu, Mapema mno Dah ..!! "Nenda Martha Mwingi Furaha na Ucheshi , Hata Mama Kasema Leo Msiba..:, ' jana ulikuwa unatabasamu hadi ulipofumba Macho , "Innalillah Wainnailaih Raajuun " ..' Mwenyezi Mungu akupe Kauli thabiti inshaallah.., ' Lala salama Martha 🙏 #RIPMARTHA #LALASALAMAMARTHA

A post shared by MBOSSO_ (@mbosso._) on

Advertisement. Scroll to continue reading.

Martha, who rose to fame through ‘Cheka Tu’ Stand Up Comedy Show which is popular in Tanzania, had an on and off love affair with Mbosso that lasted for five years.

Despite their split and keeping the fact that they had a four-year-old son together out of the limelight, Martha and the artist maintained a healthy relationship as they co-parented.

Mbosso welcomed his second baby boy named Khan Junior early last month with his girlfriend Rukia Rucky.

Mbosso rose to fame two years ago after he was signed to Diamond Platnumz Wasafi label. He is known for hits like Hodari and Nadekezwa.

Advertisement. Scroll to continue reading.
Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Some More Sauce...

Entertainment

News of the arrest of popular disc jockey Joe Mfalme in connection with the fatal assault of a senior police officer has taken the...

Entertainment

It is the eve of a new tiding for Director Trevor, as he gets hot in the heels spearheading his now rebranded news channel,...

Da Squeeze

Is there possibly one thing that Lisa Christoffersen cannot do? Seems unlikely. Having defied odds and beat stage 4 cancer 18 years ago, her...

Da Squeeze

Kenyan rap bigwig Khaligraph Jones is utterly disappointed after his much-hyped Instagram Live session with American rap star Rick Ross failed to happen. The...

Entertainment

Wizkid has requested people stop referring to him as an Afrobeats artist. The Nigerian singer – whose real name is Ayodeji Ibrahim Balogun –...

Da Squeeze

The devil works hard, but Brian Chira’s friends, acquaintances and fans work harder! Within hours of launching, the departed TikToker’s funeral fundraiser has amassed...

Entertainment

Shakira thinks she “probably” won’t find love like she had with Gerard Piqué again. The 47-year-old singer split from the former soccer star –...

Entertainment

Catherine, Princess of Wales has announced she is undergoing “preventative” chemotherapy for cancer. The 42-year-old royal – who is married to Prince William and...